JOMA BLACK KUZA(Tunza nywele zako kwa mafuta ya nywele asilia ambayo...
.Hukuza nywele haraka
.Huondoa mba
.Hufanya nywele kuwa nyeusi
.Husaidia nywele zisikatike na huondoa miwasho kichwani
.kwa wale wenye wenye nywele chache na zinazokatika tumia mafuta haya yakupe suluhisho
NB:wenye uwalaza jaribu hii unipe feedback
JINSI YA KUTUMIA
.Baada ya Kuosha na Shampoo, Kausha Nywele .
.Weka/ Pakaza kiasi kwenye nywele .
.Chana nywele ili isambae Vizuri sehemu zote .
.Usiiondoe (Kuosha ) , Acha kama ilivyo .
Location:Tegeta salasala