Aya boss wangu umeona izo taa hapo juu basi izo ni kwajili ya bustani yako aijalishi iyo bustani yako ipo wapi ata kazini. nyumbani, popote pale penye bustani ya maua au pembezoni kwenye njia za kwendea ndani unazipanga taa zako za kutosha usiku ukifika.
eneo la bustani linakuwa ninavutia sana
nikwambie kitu ukitaka kunishawishi nikupe discount kubwa basi agiza taa nyingi nitakupa discount nzuri sana
ila kumbuka taa ni kubwa size ya kati nazani umeona hapo kwenye picha
na bei nimekuwekea hapo ni ya taa 1 tu