Matumizi yake ni kwenye kilimo,bustani na lawns,viwanda,mifugo kama kupooza mifugo na kusafisha mabanda na kwenye kilimo cha mboga mboga kama vile vitunguu, nyanya, kabichi na mazao ya shambani kama vile mahindi na mpunga pamoja na vitalu vya miche ni nzuri kwa kusambaza maji kwa umbali mrefu, kutoa maji kwa usawa na kudhibiti mwelekeo wa maji.