Kwakuzingatia ubora na muone mzuri wa furniture zote muone shukuru furnitures akuhudumie kwani nikijana mchapa kazi mtiii na kikubwa zaidi natoa ushari bure kabisa karibuni sana wateja na ofa bado inaendelea kwawale waliopo dar es salaam usafiri ni buree kabisa na mikoani tunasafirisha kwa kuchangia 30% ya nauli 🙏