Ni Aku Furniture tena.
Kiti cha mbao ngumu(Mninga).
Tunazidi kukupatia kilicho bora ili uzidi kufurahi wewe pamoja na familia yako.
Kwa matumizi mbalimbali, nyumbani, ofisini
Jipatie kwa bei nafuu sana ya kitanzania. Tsh 200,000 tu
Tunapatikana Mabibo mwisho Dar es salaam. Mikoani pia tunatuma kwa uaminifu mkubwa.
Karibu sana tukuhudumie.
WE NEVER DISAPPOINT