Tunatengeneza kwa Oda tu.
Sofaset ya watu 7 ya kisasa imara na inadumu kwa muda mrefu pamoja na Coffee table yake unavipata kwetu kwa 3,500,000/= tu.
Tupo Mabibo mwisho Dar es salaam, tunatuma mikoa yote Tanzania Bara, Zanzibar na Nchi za Jirani kwa utaratibu mzuri na uaminifu mkubwa sana.
Instagram page.
Wasiliana nasi062XXXXXXX