1.Inaongeza nguvu za mwili.
2.Inaongeza hamu ya chakula.
3.Inatengeneza ngozi.
4.Inasafisha damu.
5.Inaongeza kinga ya mwili.
6.Inajenga cell zilizoharibika upya.
7.Inatuliza akili.
8.Inayeyusha chakula.
9.Ina balance hormones.
10.Ina control blood pressure na blood sugar
11.Inasaidia shida ya moyo.
12.Inaondoa tatizo la stress.
13.Inasaidia kubalance diet.
14.Inasaidia nutrient nyingine kufanya kazi vizuri mwilini.