1.Super Gro hufanya maua yako kunawiri sana kwani huongeza rutuba katika udongo.
2.ina 72% ya Nitrogen, hivyo ni rafiki kwa ardhi hata mimea na binadamu
3. Inaondoa kabisa ukungu na kuzuia wadudu na fangus
4. ina Gundi maalumu kuwezesha jani kuwa salama na mashambulizi ya wadudu
- Huboresha na kuongeza wingi wa vikonyo vya majani
-Haina sumu kabisa wala.madhara kwa binadamu ,hivyo ni salama hata kwa maua ya ndani... Kipimo kinaanzia robo lita 10,000 hadi Lita moja kwa 170,000