Supergro imeweza kujibu changamoto za wakulima mfano:
mvua haba.
mazao hafifu.
udongo ulioishiwa rutuba.
wadudu na magonjwa
gharama kubwa za pembejeo.
masoko ya mazao yao.
changamoto zote hizo zinajibiwa na supergro pekee.
kazi na faida supergro:
inarutubisha ardhi. kwani huwezesha maji kupenya hadi tabaka la tatu la udongo ambalo huwa na madini na virutubisho vingi.
inasaidia maua yasipukutike na upepo hivyo kuongeza mazao kwa wingi.
inasaidia viuwatilifu kufanya kazi vizuri.kwani supergro ni kama gundi huwezesha madawa ya kilimo aina zote kushika vizuri zaidi kwenye majani na hivyo madawa kuuwa wadudu kwa urahisi zaidi.
huleta na kuongeza ukijani katika
huleta nguvu mpya
husaidia mazao kukua
inazuia fangasi au ukungu