Supergro ni nini??.
supergro ni kirutubisho cha asili cha mimea yote.kwa kawaida mimea unahitaji mwanga wa jua na hewa. supergro ina grams 72 pamoja na madini yote yanayohitajika kwenye ardhi na mimea.
bidhaa hii imekuwa maarufu duniani na afrika mashariki kwani imewasaidia wakulima kuongeza mazao na kupunguza gharama za kilimo hasa madawa na mbolea.
supergro imeweza kujibu changamoto za wakulima mfano:
mvua haba.
mazao hafifu.
udongo ulioishiwa rutuba.
wadudu na magonjwa
gharama kubwa za pembejeo.
masoko ya mazao yao.
changamoto zote hizo zinajibiwa na supergro pekee.
kazi na faida supergro:
inarutubisha ardhi. kwani huwezesha maji kupenya hadi tabaka la tatu la udongo ambalo huwa na madini na virutubisho vingi.
inasaidia maua yasipukutike na upepo hivyo kuongeza mazao kwa wingi.