tre.gif
Sell faster
Buy smarter
  1. All ads
  2. Food, Agriculture & Farming
  3. Seeds & Fertilizers
  4. Agriculture Supplements
Dar es Salaam, Kinondoni, 03/06
9 views

Max Pig Super Meat [Virutubisho Vya Nguruwe]

+1
Supplements
Type
Nguruwe wako wamedumaa? wamekonda? wamedhohofika?, vifo vya mara kwa mara? wanashambuliwa na magonjwa mara kwa mara? umewatibu weee! Bila mafanikio yoyote zaidi tu ya kutapa hasara na mpaka sasa umechoka na hutamani tena kuendelea kufuga nguruwe . Pole sana na karibu Mfugo plus group ujipatie max pig super meat.[Huu ni ukombozi] Max pig ni virutubisho asilia visivyokuwa na kemikali vilivyo andaliwa kisayansi ikiwa lengo kuu kuweza kusaidia nguruwe wako kuweza kupata uzito mkubwa na kunenepa kwa haraka. Virutubisho hivi vinamchanganyiko wa kutosha kama madini, Vitamin, pamoja na probiotics. ■ Faida ya kutumia Max pig super meat. -Nguruwe hukuwa haraka pasipo kudumaa na kuongeza uzalishaji wa nyamaa Tamu isiyo na mafuta mengi yenye hadhi ya kimataifa. -Nguruwe kuingia joto kwa wakati na kupelekeea kuzaa watoto wengi
Max Pig Super Meat [Virutubisho Vya Nguruwe]Max Pig Super Meat [Virutubisho Vya Nguruwe]Max Pig Super Meat [Virutubisho Vya Nguruwe]
TSh 30,000
2 Feedbackview all
Report Abuse
Safety tips
  • Avoid paying in advance, even for delivery
  • Meet with the seller at a safe public place
  • First, check what you're going to buy to make sure it's what you need
  • Only pay if you're satisfied
frame_left.gif