Hutumika zaidi kama kifaa cha kilimo kwa ajili ya kufunika vitalu vya miche,bustani na mashamba,husaidia kudhibiti joto,kuhifadhi unyevunyevu wa udongo na kulinda mimea dhidi ya baridi Kali,upepo na wadudu pamoja na kuzuia magugu na kupunguza upotevu wa maji.