Tumeleta taa za solar kwaajili ya ulinzi mabandani pia unaweza timia hata majumbani.
okoa gharama kwa kufunga taa hizi za solar.
taa hizi zinamfumo wa kujiwasha zenyewe kila baada ya masaa kadhaa kama utakavyo iseti
pia zinakuja na remote control yake ya kuseti
zina sensor imara yenye uwezo wa kuhisi giza kisha ujiwasha.
taa hizi haziathiriki na maji kwani zina water proof.
zina mwanga mkali sana kuliko taa ambazo umezoea hudumu kwa muda mrefu sana zaidi ya miaka 7.
bei yake ya ofa ni tsh60,000/=
●call