Tunauza taa maalumu kwa ajili ya kulelea vifaranga.
✓taa hizi hutoa mwanga mwekundu ambao hupelekea kifaranga kula vizuri chakula pia humpunguzia stress
✓taa moja hutosha kwa vifaranga 100.
✓hutoa joto la kutosha.
✓hudumu kwa muda mrefu bila kuungua.
✓hutumia umeme kidogo
✓huitaji tena kutumia mkaa hivyo hupunguza gharama
✓huepusha uwezekano wa vifaranga kupata magonjwa ya mfumo wa hewa yanayo sababishwa na gesi za carbon monoxide.
✓tuna watts 150 na 200
✓zinakuja na warranty ya miezi sita.
✓zinakuja na holder yake moja bureee.
dsm -tegeta
agiza- tukuletee- tukukabidhi.
facebook page-(mifugo plus group)
*tuna mawakala mikoani kote*
#taazajoto#incubator#hygrometer#mzaniwadigital#vifaavyaincubator#heater#mzani#deabeakingmachine#cages#pelletmachine#nipplezakukunanguruwe#vifaranga#kroiler#