tre.gif
Sell faster
Buy smarter
  1. All ads
  2. Agriculture & Food
  3. Farm Machinery & Equipment
  4. Pellet Farm Machinery & Equipment
Dar es Salaam, Kinondoni
70 views

Tunauza Pellet Machine Chenga Chenga Mashine

+1
5
Brand New
Condition
Other
Type
Tunauza mashine ya kutengeneza chakula cha mifugo chenga chenga (pellet mashine). Faida ✓kuku hupata lishe zote zilizochanganywa katika umbo Moja . ✓Huzua upotevu wa chakula,chakula hakimwagiki hovyo . ✓Kuku hushiba vizuri kwani anauwezo wa kuokota punje zote . ✓Hupunguza gharama za ulishaji ✓Kuku wako hukua haraka kwani hupata virutubisho vyote. JINSI YA KUTENGENEZA PELLET 1. Ili utengeneze pellet, unatakiwa kuchangya virutubisho vyote mfano mahindi, mashudu, pumba, soya, madini, vitamini, nk sehemu moja kwa kutumia beleshi au mashine maalumu ya kuchanganyia chakula (MIXER) NB: Chakula kilicho changanywa tu na kupewa wanyama huwa kinaitwa MASH. 2. Changanya mchachayo wako na maji kidogo, ili uwe na unyevunyevu, hii husaidia chakula kushikana pindi unapotengeneza pellet kwenye mashine. 3. Chukua huo mchanganyo wako na weka kwenye mashine ya Pellet na uwashe mashine ili kutengeneza Pellet. 4. Hatua ya mwisho ni kuchukua Pellet ulizo tengeneza na kuzianika juani (lisiwe kali).
TSh 1,600,000
1 Feedback view all
Safety tips
  • Avoid paying in advance, even for delivery
  • Meet with the seller at a safe public place
  • First, check what you're going to buy to make sure it's what you need
  • Only pay if you're satisfied