Je umekuwa ukipata hasara ya kuharibu mayai kila mara unapo mpatia kuku wako atamie ? kama ndio basi lipo suluhisho la kudumu.mifugo plus wanakuletea mashine za kisasa za kutotoleshea vifaranga kwa gharama nafuu sana.
sifa za mashine:
inabeba mayai 56.
inaangua kwa 98%.
inatumia solar/betri/umeme.
inajiendesha yenyewe.
inatotolesha mayai ya bata/kanga/kuku/kware.
ni imara na rahisi kuitumia.
warranty mwaka mzima.
bei 300,000/=tsh.
nb:(#ofa_hii ni ya weekmoja)
tupo dar es saalam.
(tuna kuletea hadi
nyumbani)
malipo baada ya mzigo kufika.