Habari njema kwako wewe ndugu mfugaji.
mifugo_plus imekuletea ofa nono ya mashine ya kisasa ya kuangulia vifaranga.
sifa za mashine:
inabeba mayai 24.
inaangua kwa 98%.
inatumia solar/betri/umeme.
inajiendesha yenyewe.
inatotolesha mayai ya bata/kanga/kuku/kware.
ni imara na rahisi kuitumia.
warranty mwaka mzima.
bei 165,000/=tsh.
nb:(#ofa_hii ni ya weekmoja)
#hata_wewe_unaweza.
tupo dar es saalam.
(tuna kuletea hadi
nyumbani)
malipo baada ya mzigo kufika.