Tunauza mashine ya kunyonyoa kuku manyoya.
[Plucker machine au De-feather machine]
Sifa & faida za plucker zetu.
●Zinatumia umeme kidogo.
●Hazipigi makelele wala vibration sana.
●Hunyonyoa na kumaliza manyoya yote hivyo hufanya kitowewo kiwe safi.
●Hudumu kwa muda mrefu.
●Huokoa muda kwani hunyonyoa kuku zaidi ya 5 ndani ya sekunde 45.
●Bei 850.000/=Tsh
Tunafanya Free delivery dar es salaam.
...
Tuna mawakala mikoani kote.
#incubator#cages#pelletmachine#Infraredbulb#