Tunauza hoof trimmer.
hiki ni kifaa maalumu ambacho kinatumika kuchongea kwato ambazo ni ndefu kupita kiasi -mbuzi, kondoo,ng'ombe na nguruwe nk
✓zoezi la kuchonga kwato humfanya mfugo wako kutokuwa hatarini na magonjwa ya kwato ambayo yangeweza kumsababishia ulemavu
bei 25,000/= tsh
simu