Tunauza hereni za mifugo zenye namba na zisizo na namba pamoja na namba.
zipo kwa ajili ya
✓ng'ombe
✓punda
✓mbuzi
✓kondoo
✓nguruwe
*bei ya ear tag pc 100 ni 75,000/=tsh
*bei ya ear tag 45,000/=tsh
*bei ya peni 10,000/=tsh
faida kuu ya ear tag.
✓husaidia katika utambuzi wa wanyama wako pia zoezi la la utunzaji wa taarifa.
nb: hereni hizi ni ngumu hazipasuki pia peni yake haifutuki kamwe.
mawasiliano