Tuna Mashine Za Kutotolesha Vifaranga [Automatic Incubator]
Dar es Salaam, Kinondoni
16 views
Tuna Mashine Za Kutotolesha Vifaranga [Automatic Incubator]
+1
Brand New
Condition
Egg Incubators
Type
Tunauza incubator ya mayai 528.
bei 1,500,000/=tsh
mazungumzo yapo.
sifa ya mashine yetu.
>inatumia computer ndogo ambayo hudhibiti kiasi cha joto na unyevu unyevu.
>inamfumo wa kugeuza mayai zenyewe.
>inatumia kiwango kidogo sana cha umeme.
>inauwezo mkubwa wa kuhifadhi joto kwa kipindi kirefu pindi umeme unapo katika hivyo mayai hayaharibiki.
>inakuja ikiwa na warranty ya miaka miwili.
>inamfumo wa kupima yai lenye mbegu
>inauwezo wa kuangua vifaranga kwa asilimia 98.
>imeundwa na material magumu (hard board)hivyo hudumu muda mrefu hadi miaka15.
>hazishiki kutu wala kuoza.
>nirahisi sana kuitumia kwa mfugaji yeyote yule.
kitu cha ziada utakachopata kwetu.
■elimu buree ya kitaalamu ya ufugaji.
■usimamizi wa mradi wako.
■utafutiwaji wa masoko
■mayai ya kutest mashine
■nakama haitoshi tutakupa zawadi kemu kemu za vifaa vingine vya ufugaji bureee.
tupigie