Kazi yake ni kuzuia maji yasipotee ardhini, kuhifadhi maji kwa muda mrefu, kulinda udongo usichanganyike na maji, kusaidia kudhibiti maji kwenye mashamba.Matumizi yake ni kwenye kilimo, ufugaji wa samaki, mifugo, ujenzi na miradi na nyumbani kwenye water garden, swimming ponds na kuhifadhi maji ya matumizi ya kawaida.