tre.gif
Sell faster
Buy smarter
  1. All ads
  2. Food, Agriculture & Farming
  3. Farm Machinery & Equipment
Dar es Salaam, Kinondoni, 21/05
4 views

Taa Za Joto Za Vifaranga

+1
3
Brand New
Condition
Other
Type
Mfugaji kipindi hiki kunabaridi sana,vifaranga wengi udhofika sana na wengine kupoteza maisha,hii nikutokona na upungufu wa joto bandani.mfugaji unashauriwa kuwa na vyanzo sahihi vya joto ili kuokoa vifaranga wako. tunazo taa maalumu kwa ajili ya kulelea vifaranga.(infrared) ■call/text ●bei 15.000/=tsh + holder buree... taa hizi hutoa mwanga mwekundu ambao hupelekea kifaranga kula vizuri chakula pia humpunguzia stress. taa moja hutosha kwa vifaranga 100. hutoa joto la kutosha. hudumu kwa muda mrefu bila kuungua. hutumia umeme kidogo huitaji tena kutumia mkaa hivyo hupunguza gharama huepusha uwezekano wa vifaranga kupata magonjwa ya mfumo wa hewa yanayo sababishwa na gesi za carbon monoxide. tuna watts 100/150 200/250. zinakuja na warranty ya miezi kumi. zinakuja na holder yake moja bureee. tupo dar es salaam (tegeta) agiza- tukuletee- tukukabidhi. ...
Taa Za Joto Za Vifaranga
TSh 15,000
2 Feedbackview all
Report Abuse
Safety tips
  • Avoid paying in advance, even for delivery
  • Meet with the seller at a safe public place
  • First, check what you're going to buy to make sure it's what you need
  • Only pay if you're satisfied
frame_left.gif