*taa za kisasa kabisa mahususi kwajiri kulelea vifaranga
*Unaweza kutumia kwa kuku wakubwa na wadogo
*Ni muhimu kwani uimarisha afya ya mifugo yako bandani
*Zinapunguza garama za mkaa bandani
*Taa moja linaweza kulea vifaranga wadogo 70-100
*Unaweza kutumia kwa mifugoo aina zote
*Ni ngum na imara sana na ni water proof bulb