TAA MKOMBOZI KWA VIFARANGA WADOGO
Taa moja linaweza kulea vifaranga 70-100
Inakuwa na joto sahihi lenye kuwezesha afya ya mifugo
Zipo za mwanga mwekundu na mweupe
Zinatumia umeme kidogo wa Tanesco
Taa zetu zina ubora na zimeboreshwa zaidi
Ngum na imara katika matumizi ya ufugaji