Ni rafiki sana kwa mazingira yasiyo na umeme wa uhakika
inatumia umeme kidogo sana 35w sawa na unit 0.84 kwa siku
inatumia sola, betri ya 12v au umeme wa kawaida.
inachukua mayai 36 ya kuku.
totolesha mayai ya kuku, bata, kanga, njiwa, kware nk
ina ufanisi wa asilimia 95%
ni full automatic na inageuza mayai yenyewe
inaswitch automatically kwenye umeme wa betri pindi umeme wa tanesco unapokatika.
Note:
Betri au sola haijajumuishwa kwenye bei