" Mkulima Je, wadudu wanakula mazao yako huku ukipoteza muda, Dawa na pump dhaifu?
Usikubali hasara iendelee!"
Mifugo plus Group "Tunakuletea Mashine ya Kisasa ya Fumigation ya Petrol yenye nguvu kubwa kwa kazi ya kitaalamu ya upuliziaji Dawa shambani.
Inarusha dawa kwa umbali mrefu na usambazaji mzuri wa Dawa kwenye eneo lote kubwa la kazi,ina unaujazo wa Lita 25 ,ina injini imara ya 4-Stroke, pump ya chuma inayodumu muda mrefu, na mfumo wa udhibiti wa dawa na injini kwa urahisi."
"Inafaa kwa mashamba ya mboga mboga, matunda, bustani ,mabanda ya mifugo na mazao mbalimbali, makazi, maofisini. Dhibiti wadudu na magonjwa kwa ufanisi zaidi na linda afya na mavuno yako."
"Kwa bei ya ofa kuanzia Tsh 350,000 tu, jipatie leo! Piga simu ,
Tupo Dsm - tegeta kwa ndevu darajani njia ya kwenda jeshini