pellet machine kg 150 – ongeza thamani ya chakula cha mifugo!
badili malighafi zako kuwa pellets zenye ubora wa juu kwa kutumia pellet machine kg 150. inafaa kwa kutengeneza chakula cha kuku, ng'ombe, nguruwe, samaki na mifugo mingine kwa ufanisi mkubwa.
bei: tsh 1,700,000 tu!
uzalishaji wa hadi kg 150 kwa saa*
imara na yenye matumizi madogo ya umeme
rahisi kutumia na kutunza
inafaa kwa matumizi ya nyumbani na biashara
shamba smart – mbezi makabe, dar es salaam
wahi kuagiza sasa na uboreshe uzalishaji wa chakula cha mifugo kwa gharama nafuu!
#pelletmachine #feedpellets #shambasmart #kilimonaufugaji #farmmachinery #tanzania