*incubator machine za kisasa zinazo tumia umeme wa solar system na umeme wa majumbani (TANESCO)
*ni fully automatic kila kitu yaani inajigeuza mayai yenyewe
*Inatunza joto kwa masaa 8+ endapo umeme ukikata
*Ni imara na ngumu zisizoo alibika kirahisi Wala kuvunjika
*Inaa taa maalum kwajiri ya kupimia mayai mazima na mabovu
*Ina zawadi ya feeder na drinker kwajiri ya kulelea vifaranga wako
*Ufanisi wa uanguaji wake ni 96%
*Inaangua mayai ya aina zote