MULTI FUNCTION THRESHER MASHINE BEI TZS 2,500,000/=TU
Mashine ya kisasa inayopiga mazao zaidi ya 6 kwa ufanisi mkubwa kama mahindi, soya, maharage, ngano, mtama na canola kwa muda mfupi sana.
Inapatikana aina mbili: ya umeme na ya mafuta, hivyo unaweza kuchagua kulingana na mazingira yako ya kazi shambani.
Inaongeza kasi ya kazi, inapunguza gharama za wafanyakazi na inakupa mavuno safi kwa haraka zaidi kuliko njia za kawaida.
Hii ni mashine bora kwa wakulima wanaotaka kuongeza uzalishaji na faida kwa msimu mmoja tu wa kilimo.