*ni incubator machine automatic kila kitu yaani inajigeuza mayai yenyewe
*Zinatunza joto kwa masaa 8 endapo umeme ukikata
*Zinatumia umeme wa kawaida TANESSCO na pia unaweza kutumia kwa umeme wa solar system BATTERY
*Zinaangua Mayai ya aina zote na kwa ufanisi mkubwa 98%
*Ngum na imara zaidi zisizoo kulaa umeme mwingii
*Ni single phase machine