Tunauza mashine ya kutotoleshea vifaranga mayai ya 24
sifa ya mashine yetu|24|
inatumia solar na umeme.
inajiendesha yenyewe.
inatumia umeme kidogo(watt's 80/v12)
inatunza joto masaa 6 endapo umeme ukikatika.
inamfumo wa kupima yai lenye mbegu.
inauwezo wa kuangua kwa 98%.
•inaangua mayai ya kuku/bata/kanga/kware & bundi.
inawarranty ya miezi ya 12
ni imara na nirahisi kutumia kwa mfugaji yoyote.
tupo dar es salaam
[tegeta]
tuna mawakala mikoani kote.