tre.gif
Sell faster
Buy smarter
  1. All ads
  2. Food, Agriculture & Farming
  3. Farm Machinery & Equipment
Dar es Salaam, Kinondoni, 03/06
12 views

Mashine Ya Kutengeneza Chakula Cha Chechenga Chengachamifugo

+1
Brand New
Condition
Other
Type
GTunauza mashine za kisasa kwa ajili ya kutengenezea chakula chakula cha mifugo kwa mfumo wa chenga chenga (pellets) ● Bei zetu na uwezo wake kwa saa.● 20kg/hr=150,000/= 100kg/hr=1,kg/hr=1,800,000/= 200kg/hr=2,000,000/= 300kg/hr=3,500,000/= 500kg/hr=4,500,000/= 1000kg/hr=6,500,000/= ■faida za kulisha kuku wako chakula cha chenga chenga ■kuku hupata lishe zote zilizo changanywa kwenye umbo moja. ■huzuia upotevu wa chakula kwani chakula hakimwagiki ovyo. ■kuku hushiba vizuri kwani anauwezo wa kuokota punje zote. ■hupunguza gharama za ulishaji. ■Mashine zetu zote zinakuja na warranty ya mwaka mmoja ■hutumia umeme kidogo ukinunuwa kwetu MIFUGO PLUS tutakupa ofa ya fomular zote bure za chakula pia kwa wale wateja ambao mnahitaji kulipia kidogo kidogo karibuni. Tunaptika Dar es salaam tegeta
TSh 1,800,000
2 Feedbackview all
Report Abuse
Safety tips
  • Avoid paying in advance, even for delivery
  • Meet with the seller at a safe public place
  • First, check what you're going to buy to make sure it's what you need
  • Only pay if you're satisfied
frame_left.gif