GTunauza mashine za kisasa kwa ajili ya kutengenezea chakula chakula cha mifugo kwa mfumo wa chenga chenga (pellets)
● Bei zetu na uwezo wake kwa saa.●
20kg/hr=150,000/=
100kg/hr=1,kg/hr=1,800,000/=
200kg/hr=2,000,000/=
300kg/hr=3,500,000/=
500kg/hr=4,500,000/=
1000kg/hr=6,500,000/=
■faida za kulisha kuku wako chakula cha chenga chenga
■kuku hupata lishe zote zilizo changanywa kwenye umbo moja.
■huzuia upotevu wa chakula kwani chakula hakimwagiki ovyo.
■kuku hushiba vizuri kwani anauwezo wa kuokota punje zote.
■hupunguza gharama za ulishaji.
■Mashine zetu zote zinakuja na warranty ya mwaka mmoja
■hutumia umeme kidogo ukinunuwa kwetu MIFUGO PLUS tutakupa ofa ya fomular zote bure za chakula pia kwa wale wateja ambao mnahitaji kulipia kidogo kidogo karibuni.
Tunaptika Dar es salaam tegeta