Mashine Ya Kusaga Na Kuchanganya Chakula Cha Mifugo
Dar es Salaam, Kinondoni
64 views
Mashine Ya Kusaga Na Kuchanganya Chakula Cha Mifugo
+1
1
Brand New
Condition
Feeders
Type
Tunauza grinder and mixer machine.
✓hii ni mashine ya kisasa yenye uwezo wa kusaga na kuchanganya chakula cha mifugo tani moja kwa saa.
✓uwezo wake ni 25 hp motor (grinder) na 5hp motor (mixer).
✓inasaga na kuchanganya aina zote za chakula cha kuku yaani chick starter, growers mash, finisher, layers mash na vyakula vingine vya mifugo.
✓inafanya kazi kwa masaa 20 bila kupumzika
chuma ni 8mm (grinder) na 2mm (mixer)
umeme ni wa njia tatu (three phase)
mawasiliano