Mashine zetu zinakidhi ubora unaouhitaji: -
1.zinatoa unga msafi na laini sana
2.inasaga kwa kasi ya ajabu, 600kg kwa kila saa ( mrejesho wa wateja)
3.ni rahisi kuisafisha na kubadili chekeche
4.haina kelele wala mitikisiko mikubwa
5.ni imara na inadumu kwa muda mrefu
pia tunaunda kwa size nyinginezo
1. 350kg/saa -950,000/=
2.600kg/saa -1,200,000/=
3. 1000kg /saa 1,600,000/=
karibuni sana , tupo mabibo shungashunga usawa wa bandari kavu.