TUNAUZA MASHINE YA MAYAI 56
Sifa ya mashine yetu|56|
Inatumia solar na umeme.
Inajiendesha yenyewe.
Inatumia umeme kidogo(watt's 80/v12)
Inatunza joto masaa 6 endapo umeme ukikatika.
Inamfumo wa kupima yai lenye mbegu.
Inauwezo wa kuangua kwa 98%.
•Inaangua mayai ya kuku/bata/kanga/kware & bundi.
Inawarranty ya miezi ya 12
Ni imara na nirahisi kutumia kwa mfugaji yoyote.
●Call/Text
■Bei 300.000/=Tsh
TUPO DAR ES SALAAM-TEGETA