MASHINE YA KUKATIA NYASI NA MASHINE YA KUPALILIA MASHAMBA | BRUSH
Muda wetu wa kazi ni saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)
Ofisi zetu zipo Tegeta Wazohill-Dar es salaam na Bagamoyo
BRUSH CUTTER hizi ni mashine (portable) zinazotumika kukatia nyasi, kupalilia na kukata miti.
Mashine hii moja inaweza kufanya kazi zaidi ya moja, kazi ambazo hii mashine inafanya ni:-
1. Kukata nyasi - kufyeka
2. Kukuta miti kama Chain Saw
3. Kupalilia
4. Kufyeka vichaka vikubwa.