ni mashine automatic ya kutengeneza vifaranga
zinatumia umeme wa kawaida tanessco na solar
zinaangua mayai ya aina zote bata,kuku,njiwa,bukini nk
uanguaji wake 98% kwa mayai aina zote
ni ngum na imara zaidi zisizoo vunjika kwa urahisi
ni automatic incubator yani inageuza mayai yenyewe