*Fully automatic incubator machine ya kisasa kabisa
*Inatumia umeme wa kawaida TANESSCO na pia unaweza kutumia umeme wa solar system BATTERY
*Ni ngumu sana kuwahi kutokea Tanzania
*Zinaangua Mayai ya aina zote
*Inatunza joto endapo umeme ukikata
*Fully automatic kila kitu yaani inajigeuza mayai yenyewe