HEATER LAMP ZA KISASA ZA KULELEA VIFARANGA
Hii ndio mkombozi sahihi kwa wafugaji
Ewee mfugaji sasa waweza kuanza kutumia heater kulelea vifaranga
Heater hizi zinatumia umeme kidogo wa Tanesco
Heater moja inaweza kulea vifaranga 100-200+
Hazili umeme wala kuungua kirahisi
Ni ngum na imara na Imetengenezwa kwa plastic imara zaidi