Hutumika kuoteshea mbegu kila mbegu moja au mbili,kulea miche inafanya inakuwa salama bila kushindana na mizizi inakuwa inakuwa vizuri ndani ya kila cell,huokoa mbegu inafanya inakuwa na mpangilio na kuepusha kupoteza mbegu nyingi na kumwagilia kirahisi zaidi bila kuumiza mizizi na kuokoa nafasi kwenye miche mingi eneo dogo na hutumika sana katika nyanya,hoho,kabeji nakadharika.