Machine hizi ni 4 stroke engine za kisasa kabisa kwaajiri ya kusafisha mazingira
Machine hizi Zina weza kufyeka,kupalilia,kukata miti na pia kuvunia mpunga
Machine hizi zinakuwa na JEMBE, PANGA, MSUMENO NA BRUH
Machine hizi Zina uwezo wa kutumia 3L petroleum kwa heka moja
Ni simple unayo weza kuibeba mgongoni au begani inaa 8-11kg weight
Ina RPM 7500 na 50cc