food chopper 25l – tsh 350,000 tu!
wafugaji, boresha maandalizi ya chakula cha mifugo kwa kutumia food chopper 25l ya kisasa. inakata majani mabichi, mboga, na malighafi mbalimbali kwa haraka ili kupata chakula chenye ukubwa unaofaa kwa mifugo na kuku.
inasaidia kuokoa muda na nguvu, kupunguza upotevu wa chakula, na kuongeza ufanisi katika ufugaji wa kuku, ng'ombe, mbuzi, nguruwe na mifugo mingine.
bei: tsh 350,000 tu.
tunapatikana dar es salaam – lilian kibo
/
#jeff_agriculture_farm #foodchopper #ufugajiwakuku #ufugajiwamifugo #kilimobiashara