Hutumika katika bustani kwa kunyunyizia mazao kama mboga mboga, vitalu vya miche,kutosha magari hata kusafishia maeneno ya nyumbani ni rahisi kubeba na haichukui nafasi kwa sababu inajiongeza wakati maji yanaporuhusiwa kutiririka kutoka kwenye chanzo cha maji na hukaza kurudi kwenye hali yake tena maji yakuzimwa.