Mashine za kutotoleshea mayai (incubators) za kisasa!
kuanzia mayai 30 hadi 5000+
unasubiri nini?
tengeneza vifaranga wako mwenyewe kwa kutumia mashine zenye ufanisi wa hali ya juu!
faida kubwa za mashine zetu:
zinatumia umeme wa tanesco, solar au betri
automatic turning system – hugeuza mayai bila wasiwasi
digital control – joto na unyevu vinadhibitiwa kwa usahihi
tija hadi 98% ya kutotolesha
chagua kifaa kinachokufaa:
mayai 30 – kwa wanaoanza
mayai 60, 120, 264, 352 – kwa wafugaji wa kati
mayai 500, 1056, 2112 hadi 5000+ – kwa uzalishaji mkubwa
huduma nyingine:
mafunzo ya kutumia mashine
ushauri wa ufugaji wa vifaranga
hii si mashine tu — ni fursa ya uhuru wa kifedha!
wasiliana nasi sasa:
dar es salaam, tanzania
#nippleszakukunyeshamajikuku #mashinezakisasa