Hutumika kumwagilia mazao kwa kunyunyizia, kusambaza maji kwa usawa shambani, kupunguza matumizi ya maji,kufaa kwenye low na medium pressure kwenye mboga mboga kama karoti mchicha na nyanya vitunguu mahindi nakadharika, mashamba madogo na ya kati, greenhouse, bustani za nyumbani na vitalu vya miche.