Tunauza mashine ya kutengeneza chakula cha mifugo
mashine hii ni fully combine inasaga mashudu,majani mabichi na makavu,matawi pumba na miti mti
mashine hii ya umeme na inatumia umeme kidogo sana
mashine hii inaweza kutengeneza tani tatu kwa saa moja
motor yake imeboreshwa na ina 5.5kw imara na ngum zaidi
ipo ya umeme na ya mafuta pia engine petrol
bei shilingi 3,000,000/=tu065XXXXXXX