CHAFF CUTTER YA TANI 1
Boresha ufugaji wako kwa Chaff Cutter yenye uwezo wa kukata hadi Tani 1 kwa saa!
Inakata majani, nyasi, mabua ya mahindi na malisho mengine
Ufanisi mkubwa wa kuandaa chakula cha mifugo
Imara na rahisi kutumia
Inafaa kwa wafugaji wa ng'ombe, mbuzi na kondoo
Bei: TSh 1,700,000
Location: Dar es Salaam
WhatsApp/Call:
Wasiliana nasi leo kupata mashine bora kwa ufugaji wa kisasa na wenye tija.
#ChaffCutter #Ufugaji #MashineZaKilimo #ShambaSmart #DarEsSalaam