*Ni mashine ya kusaga na kukata kataa majani ya mifugo
*Inauwezo mkubwa wa kusaga magunzi,miti, majani NK
*Ni mahususi kwa kilimo na ufugaji wa kisasaa
*Zinatumia umeme wa kawaida single phase
*Ngumu na imara zaidi ambazo haziungui kirahisi
*Inatumia mafuta au unaweza KUTUMIA UMEME
*Inatengeneza 1500KG kwa saa mojaa