Kazi yake ni kusambaza maji kwenye mashamba makubwa na sehemu kama viwanja vya mpira kuzima moto kupunguza labour cost na kusaidia ratiba ya umwagiliaji pamoja na kusaidia mbolea ya maji kwenye bustani,kunyunyizia dawa za majani na kusafishia greenhouse hata katika hifadhi za wanyama